Wednesday, 26 November 2014

VYUO Tanzania vyafeli katika mjadala

Vyuo vikuu vitatu vya Tanzania ambavyo vilishiriki katika mashindano ya mjadala wa Afrika kuhusu Sheria za kimataifa za haki za kibinaadamu yalioandaliwa na kamati ya kimataifa ya shirika la msalaba mwekundu ICRC vimeshindwa kufika katika raundi ya mwisho.
Badala yake vyuo hivyo viliondolewa katika raundi za mapema ambapo mataifa manane ya Afrika yalishiriki.
ICRC imekuwa ikiandaa hafla kama hizo kwa kipindi cha miaka 14 sasa mjini Arusha.
Kulingana na gazeti la the Citizen nchini Tanzania, vyuo vilivyoiwakilisha Tanzania ni chuo cha kanisa katoliki cha Ruaha kutoka Iringa,Chuo cha Iringa na Chuo kikuu cha Zanzibar.
Katika raundi ya mwisho ya mashindano hayo yaliofanyika mwishoni mwa wiki katika mahakama maalum ya kimataifa inayochunguza mauaji ya kimbari nchini Rwanda ICTR mjini Arusha,chuo cha Strathmore University kutoka Kenya kiliibuka mshindi na kufuatiwa na chuo cha Christian University kutoka Uganda huku chuo cha Kunduyi pasi kutoka Zimbabwe kikiibuka mshindi wa spika bora.
Raundi ya mwisho ya mjadala huo ilisimamiwa na jaji wa mahakama hiyo Vagn Joensen,jaji wa mahakama kuu ya Tanzania Stella Mugasha,jaji wa mahakama ya haki katika Afrika mashariki Fanstin Ntezilyayo,John Joseph Wamwara na Mutsa mangezi kutoka ICRC.
Judge Joensen, ambaye alitoa zawadi kwa washindi aliyapongeza mashindano hayo kama kifaa cha kuwahamasisha wanafunzi wa vyuo vikuu wanaofanya sheria na kwamba itasaidia kuimarisha maono yao katika siku za usoni.

Thursday, 20 November 2014

ujasirimari mitaji midogo

UJASIRIAMALI: Mitaji midogo
kikwazo kwa vikundi
>Ukosefu wa mbinu za kuboresha bidhaa, mtaji
mdogo, matatizo ya afya na ukosefu wa mbinu za

BUNGE NIGERIA RASAMBALATISHWA

Polisi katika mji mkuu wa Lagos, Nigeria,
wamefyatua gesi ya kutoa machozi

UKAWA NA NJAMA ZA IPTL

Dodoma. Wakati kamati ya Bunge ya
Hesabu za Serikali (PAC) ikianza kupitia
ripoti ya IPTL kuhusu uchunguzi wa
ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow,

kinana awaskukia viongozi goigoi ABULRAHIMAN KINANA KATIBU MKUU WA CCM

Lindi. Viongozi wanaotokana na Chama
cha Mapinduzi (CCM),

shy-rose bhanji adaiwa kumpiga mbunge mwenzake

Dar es Salaam. Mbunge wa Bunge la Afrika
Mashariki (Eala), Shy-Rose Bhanji
ameingia katika mgogoro mpya baada ya
kutuhumiwa kumpiga mbunge mwenzake
kutoka Tanzania

Monday, 17 November 2014

kanali congo anyongwa

Mahakama ya kijeshi Mashariki mwa Jamuhuri ya
Demokrasi ya Congo imemhukumu kifo Kanali
Birocho Nzanzu baada ya kubainika na makosa ya
kutaka kumuua afisa wa jeshi la nchi hiyo
aliyekuwa mstari wa mbele kutokomeza wapiganaji
wa M23.
Kanal Mamadou Ndala anayedaiwa kuuawa na
njama za Kanal Birocho Nzanzu
Afisa anayedaiwa kupangiwa njama za kuuawa ni
Mamadou Ndala mabaye kwa kiasi kikubwa
aliamini katika vita dhidi ya kundi hilo la
wapiganaji na ambaye aliuawa mwezi januari
mwaka huu. Hata hivyo hukumu hiyo imetolewa
kwa watuhumiwa nane ambapo kati ya hao mmoja
ndiye Kanali Ndala aliyehukumiwa kifo. Mahakama
imebainisha kuwa Kanali Nzanzu amekuwa
akitumiwa na waasi wa ADF kutoka Uganda
kuandaa maujaji

Mfungwa aruhusiwa kuoa nchini marekani

Mtu aliyeua watu wengi nchini Marekani na
kufungwa kifungo cha maisha Charles Manson,
mwenye umri wa miaka 80, ameripotiwa kupewa
hati ya kuoana na mwanamke mwenye umri wa
miaka 26 ambaye amekuwa akimtembelea
gerezani.
Hati hiyo ya ndoa ilitolewa siku 10 zilizopita kwa
Manson na Afton Elaine Burton, limeripoti shirika
la habari la Associated Press.
Bi Burton alihamia Corcoran, California, miaka tisa
iliyopita ili kuwa karibu na gereza la Manson.
Manson anatumikia kifungo cha maisha jela kwa
kuua watu saba na mtoto mmoja ambaye hakuwa
amezaliwa huko Los Angeles Marekani mwaka
1969.
Waliouawa ni pamoja na mwigizaji aliyekuwa
mjamzito Sharon Tate, mke wa mwongoza sinema
Roman Polanski.
Charles Manson mfungwa mweye umri wa
miaka 80 na mke mtarajiwa Afton Elaine
Burton"Star" miaka 26
Bi Burton, ambaye anajiita nyota, ameliambia
shirika la Associated Press kuwa ataoana na
Manson mwezi ujao. Hati hiyo imeripotiwa
kudumu kwa siku 90.
"Wote mtajua kuwa ni kweli... Itatokea,"
ameliambia shirika hilo.
"Nampenda," ameongeza kusema.
Kiongozi huyo wa kidini na wafuasi wake,
wakijulikana kama Familia ya Manson, aliwachoma
visu na kuwaua kwa kuwapiga risasi watu saba
huko Los Angeles katika siku mbilimwezi Agosti
1969 katika jaribio la kutaka kuanza vita vipya vya
matabaka ya rangi.
Manson na wanawake watatu washirika wake
walihukumiwa adhabu ya kifo kutokana na mauaji
hayo, lakini hukumu hiyo ilitolewa mwaka 1972
wakati jimbo la California lilipositisha kwa muda
adhabu ya kifo.
Mwaka 2012, Manson alinyimwa parole yaani
msamaha wa kuachiliwa na jopo la gereza la
California - ilikuwa mara ya 12 kwa Manson
kuomba kuachiliwa huru.
Kwa matokeo hayo, Manson hastahili tena kuomba
parole hadi mwaka 2027.
Mshirikish

familia ya kassig yamlilia abdul-rahman

Wazazi wa Abdul-Rahman Kassig raia wa Marekani
aliyekuwa akifanya kazi katika mashirika ya
misaada ya kibinadamu nchini Syria ,wametoa
rambi rambi zao kwa mtoto wao aliyeuawa kwa
kuchinjwa na wapiganaji wa IS.
Wamesema kuwa wamejifunza kutokana na maujaji
hayo na kwamba wamewasamehe wauaji hao japo
kuwa awali mioyo yao ilikuwa na huzuni mkubwa
na uchungu kufuatia tukio hilo.
Ed na Paula Kassig wadogo zake na Abdul
Rahman Kassig wamemuelezea ndugu yao
kwamba alikuwa mkweli na mfanyakazi mwaminifu
katika mashirika ya kutoa misaada ya kibidamu
ambaye alikuwa na mtazamo wa kutoa msaada na
kujiepusha na udanganyifu wa aina yoyote.
Hata hivyo familia hiyo ya Kassig imetoa rai ya
kufanyika kwa maombi maalumu kwa watu wa
Syria nchini Iraq na duniani kote mahala ambapo
watu wanakabiliwa na vitendo vya ukiukwaji wa
haki.
Awali waziri wa kigeni wa Ufaransa Bernard
Cazeneuve amesema kuna uwezekano mkubwa
raia wa nchi hiyo walishiriki katika kitendo cha
kumchinja Abdul kutokana na picha za video
zilizoonyeshwa jumapili ambapo anaonekana
Kassig na wanajeshi wengine 18 wa Syria.

MICHUANO YA EURO

Michezo kadhaa imepigwa kuwania kufuzu fainali
za Euro mwaka 2016
katika

kundi A,
Uholanzi imeichapa Latvia mabao
6-0,Jamuhuri ya Czech imetoka kifua mbele kwa
mabao 2 dhidi ya 1 la Iceland, Uturuki nayo
ikaiadhibu Kazakhstan kwa 3-1
Katika

kundi B

Ubelgiji na Wales walitoka sare ya kutofungana,
Cyprus imeitandika Andorra mabao matano bila
majibu na Israel imeichapa Bos Herce mabao
matatu kwa sifuri.
Kundi H lilikutanisha Azerbaijan na Norway
ambapo,Norway iliondoka na ushindi wa goli moja
kwa sifuri, Bulgaria ikatoka sare ya moja kwa moja
na Malta, halikadhalika italia ilitoka sare ya moja
kwa moja na Croatia.

AKANA NJAMA KUMUUA MUGABE

Makamu wa Rais nchini Zimbabwe, anasema
anapanga kuchukua hatua za kisheria dhidi ya
shirika la habari la kitaifa kwa kumhusisha na
njama ya kumuua Rais Robert Mugabe.
Joyce Mujuru amesema amewaamuru mawakili
wake kumrejeshea hadhi yake ya kisiasa baada ya
kuhusishwa na madai hayo ya uhaini pamoja na
ufisadi.
Jarida la Sunday Mail la nchini humo, limeripoti
kuwa kuna njama ya kumkodi mamluki kumuua
Mugabe ili Bi Mujuru achukue mamlaka.
Mwezi jana Bwana Mugabe alifikisha miaka 90 na
kusema hana nia ya kuachia madaraka.
Ametawala Zimbabwe tangu nchi hio kujipatia
uhuru mwaka 1980.
'Ushetani'
Rais Mugabe akiwa na mkewe Grace Mugabe
Rais Mugabe na Bi Mujuru walikuwa wandani wa
karibui lakini kwa sasa wamehasimiana huku
mjadala wa kumrithi Mugabe ukitokota katika
chama tawala cha Zanu-PF kikijiandaa kwa
kongamano lake la kitaifa mwezi ujao.
Mkewe Bwana Mugabe, Grace Mugabe amekuwa
akiendesha kampeini dhidi ya Bi Mujuru akimtaka
astaafu.
Amemtuhumu Bi Mujuru kwa kuwa mtu wa
kishetani na mwenye kugawanya watu pamoja na
kujipatia pesa kwa njia ya udanganiyifu, kutoka
kwa makampuni.
Taarifa ya bi Mujuru akikana madai ya njama hiyo
haikutarajiwa.
Ingawa hajaonyesha dalili za kuachia ngazi,
anakabiliwa na shinikizo kali sana za kisiasa.
Jarida la Sunday mail liliripoti taarifa hizo za
kushtua kwamba bi Mujuru na washirika wake
wanapanga kumkodi mamluki ambaye atamuua
Mugabe ili achukue mamlaka.
"ninakanusha madai hayo ya uhaini na ufisadi
pamoja na kutumia vibaya mamlaka yangu, madai
ambayo yamekuwa yakitolewa dhidi yangu kwa
mda mrefu sasa,'' alisema Mujuru.
Amewataka mawakili wake kuchukua hatua za
haraka za kisheria dhidi ya waliotoa madai hayo
na kumharibia sifa yake.

DAKTARI MAREKANI AFA KWA EBOLA

Daktari Martin Salia kutoka nchini Sierra Leone
aliyekuwa anapokea matibabu ya Ebola nchini
Marekani amefariki.

KOCHA MWAMBUSI ABWAGA MANYANGA

Kocha mkuu wa klabu ya Mbeya City Juma
Mwambuzi ameamua kutundika daruga
katika timu hiyo kufuatia matokeo pamoja na
mawasiliano mabovu na uongozi.
Akizungumza na mwandishi wetu kocha
huyo bora wa ligi kuu msimu wa mwaka jana
ambaye aliipandisha daraja Mbeya City na
kuleta upinzani mkubwa kwa timu za Simba,
Yanga na Azam amesema ameamua
kuwaachia viongozi timu yao ili watafute
kocha atakaefaa.
Mwambusi ameelezea sababu ya kubwaga
manyanga kuwa kuwepo kwa tuhuma za
kiufundi baada ya timu hiyo kuwa na
matokeo mabovu msimu huu kitu ambacho
kinahusishwa na familia yake, lakini hakuwa
tayari kuzungumza kwa kina nini tuhuma
hizo.
“Ni kweli nimeamua kuondo na kesho ndio
nitapeleka barua yangu katika uongozi,
Kikubwa nimeona niwapishe viongozi baada
ya kuwepo na mtafaruku mkubwa tu kitu
ambacho matatizo ya timu wanayahusisha
na familia yangu kisha nimeoa mwanamke
wa Zanzibar” Amesema Mwambusi ambaye
mwakana amemaliza mzunguko wa kwanza
bila kufungwa.
Hadi sasa Mwambusi anabwaga manyanga
Mbeya City ikiwa inashika mkia wa ligi kuu
baada ya kucheza michezo saba kufungwa
minne, kushinda mchezo mmoja na kutoa
sare miwili ikiwa imevuna pointi 5.
Uongozi wa klabu hiyo ulipoulizwa na
amwandisjhi wetu kupitia kwa Dismas Ten
afisa habari wa klabu hiyo amesema kuwa
wao hawana taarifa za kuondoka kwa kocha
huyo huku akisisitiza kuwa bado ni kocha
wao.

Wednesday, 12 November 2014

Skeleton ya kakakuona

Ni mnyama ambae anaheshimika sana na watu duniani hasa pale tu anapoonekana kwani watu wanaamini kwamba mnyama huyu ni mwenye baraka

RIHANA ndani ya ikulu ya marekan

Rihanna amepost picha akiwa ikulu ya marekani (white house) alipotembelea siku ya jana huku akiwa amepozi sehem mbali mbali za ikulu

Jux-sisikii

http://www.hulkshare.com/mobile/index.php#kizobrax/jux-sisikii-www-kizobrax-blogspot-com

Mtoto wa beckham asaini mkata klabu kubwa duniani

Mtoto wa kwanza wa mchezaji wa zamani wa Manchester United  Beckham na mwanamitindo Victoria amesign kuichezea timu ya mpira wa miguu "Arsenal"

Brookyln (15)aliyewahi kufanya mazoezi na klabu hiyo ya London amekataa kufuata nyayo za mzazi wake na kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu hiyo licha ya fuatiliwa kwa karibu na klabu kama Chelsea na  Manchester United.
Gazeti la The Daily Star lilifichua kuwa Brooklyn amesaini mkataba wa awali wa mwaka mmoja baada ya kuwafurahisha makocha wa klabu hiyo wakati wa mazoezi aliyofanya klabuni hapo hivi karibuni.

Inadaiwa kwamba Arsenal wamekuwa wakimfuatilia chipukizi huyo kwa muda mrefu na wapo tayari kumpa mkataba wa muda mrefu, endapo ataendelea kung’ara msimu huu.
Chanzo cha habari kilichonukuliwa na The Daily Star kimefichua kuwa Brooklyn ni kijana mwenye kipaji kikubwa , ameonyesha ukomavu na utulivu kwenye mazoezi, hata mechi za timu ya watoto ambazo amekuwa akichezeshwa.
Watoto wa Beckham wamekuwa sehem ya Arsenal kwa miaka sasa huku Romeo mwenye miaka 12 kwa sasa anachezea arsenal kwa wenye umri chini ya miaka 13, na Cruz (9) anachezea team ya wenye miaka chini ya miaka 10, club iko London na Beckham ni rafiki wa manager wa Arsenal, Arsene Wenger.

Rapa Geez mabovu afariki dunia usiku huu

Rapper aliekuwa anawakilisha Dirty South,  Ahmed Ally Upete, a.k.a "Geez Mabovu" amefariki dunia jioni ya leo (November 11)  mishale ya sa moja akiwa kwao mkoani iringa

Geez ameugua kwa muda mrefu na baada ya hali yake kuonekana sio nzuri kaka yake alikuja kumchukua na kurudi nae mkoani Iringa, ameniambia mdogo wake ambae pia ni msanii  "Mad P" kupitia ujumbe mfupi wa maneno. habari zaidi utaendelea kuzipata kila zinapotufikia

Mabovu alikuja juu sana baada ya kutoa ngoma inayoitwa  Mtoto Wa Kiume na dakika sifuri aliyomshirikisha marehem Albert Mangwea

Obama in his tour to Asia

US President Barack Obama is to hold talks with Myanmar's President Thein Sein, hours after accusing his government of backsliding on reforms.
Mr Obama is in Naypyitaw for the East Asia summit, which follows Wednesday's Asean meeting.
In an interview with a Thai-based Burmese website ahead of his arrival, he said that progress had been made.
But he said reform momentum had slowed in Myanmar and that there had even been some steps backwards.
"Burma is still at the beginning of a long and hard journey of renewal and reconciliation," Mr Obama wrote in the interview with The Irrawaddy magazine.
In some areas there had been progress, he said, including "the release of additional political prisoners, a process of constitutional reform, and ceasefire agreements" relating to conflicts with Myanmar's minority groups.
But he said progress had not come as fast as many had hoped when the transition from military to civilian rule began in November 2010.
He cited restrictions on political prisoners, the arrest of journalists and the ongoing plight of the Rohingya Muslim minority displaced in Rakhine state after anti-Muslim violence.
"Even as there has been some progress on the political and economic fronts, in other areas there has been a slowdown and backsliding in reforms," he wrote.

Analysis: Jonah Fisher, BBC News, Yangon
So did the reformers run out of steam? Did Thein Sein's project reach a roadblock manned by hardliners in the Burmese army? Or perhaps we're close to the final destination - that is, with sanctions lifted and the army still really in charge.
Ms Suu Kyi's main frustration is that the constitution remains unchanged.
Drafted in 2008, it entrenches the military's control of political life, guaranteeing it a quarter of the seats in the Hluttaw (the Burmese parliament), and a veto over any changes to the constitution.
This is what its architects proudly call a "disciplined democracy".
Has Myanmar's reform journey ground to a halt?

The is Mr Obama's second visit to Myanmar. He last came in November 2012, in what was the first visit to the nation by a US president.
That visit came two years after the country embarked on political reform, following elections in November 2010 that replaced military rule with the military-backed civilian government of Thein Sein.
Many political prisoners were released, media restrictions eased and pro-democracy leader Aung San Suu Kyi released from years of house arrest.
Amid the reforms, her National League for Democracy rejoined the political process and secured a small block of seats in parliament after a landslide win in by-elections in 2012.
But Ms Suu Kyi has recently warned that reforms have stalled, as all eyes turn to 2015 when the next general election will be held.
Mr Obama meets Ms Suu Kyi - who is currently banned by a constitutional clause from the nation's presidency - in Yangon on Friday.
"I'm especially interested in hearing her thoughts about the constitutional reform process, next year's election and how the international community, including the United States, can help ensure that the vote is inclusive, transparent, and credible," Mr Obama wrote.
Mr Obama's meeting with Thein Sein will take place on the sidelines of the East Asia summit - which groups the Asean bloc with the US, China, India, Japan, South Korea, Australia, Russia and New Zealand.
On Wednesday Asean (the Association of South East Asian Nations) held its own meeting in the Burmese capital.
Key issues included tensions over ongoing territorial disputes in the South China Sea and efforts to prevent fighters from Asean nations travelling to the Middle East to join extremist groups.