Monday, 17 November 2014

kanali congo anyongwa

Mahakama ya kijeshi Mashariki mwa Jamuhuri ya
Demokrasi ya Congo imemhukumu kifo Kanali
Birocho Nzanzu baada ya kubainika na makosa ya
kutaka kumuua afisa wa jeshi la nchi hiyo
aliyekuwa mstari wa mbele kutokomeza wapiganaji
wa M23.
Kanal Mamadou Ndala anayedaiwa kuuawa na
njama za Kanal Birocho Nzanzu
Afisa anayedaiwa kupangiwa njama za kuuawa ni
Mamadou Ndala mabaye kwa kiasi kikubwa
aliamini katika vita dhidi ya kundi hilo la
wapiganaji na ambaye aliuawa mwezi januari
mwaka huu. Hata hivyo hukumu hiyo imetolewa
kwa watuhumiwa nane ambapo kati ya hao mmoja
ndiye Kanali Ndala aliyehukumiwa kifo. Mahakama
imebainisha kuwa Kanali Nzanzu amekuwa
akitumiwa na waasi wa ADF kutoka Uganda
kuandaa maujaji

No comments:

Post a Comment